Ukuaji katika Sekta ya Madini, Uboreshwaji Miundombinu na Uwezeshaji wa Watanzania Chini ya Uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
2024Uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan umeleta mabadiliko makubwa katika sekta mbalimbali za uchumi nchini Tanzania. Tangu aingie madarakani, Rais Samia amekuwa na dhamira thabiti ya kuwezesha Watanzania kunufaika na rasilimali za taifa lao