Makala Mbalimbali

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Ngorongoro: Jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan Kuimarisha Misingi ya Haki, Uhifadhi, na Maendeleo ya Jamii

Baada ya kipindi kirefu cha manung'uniko kutoka kwa wananchi wa Ngorongoro, Rais Samia Suluhu Hassan hatimaye alipata fursa ya kuzungumza kwa kina na viongozi wa koo za jamii ya Wamasai katika mkutano uliofanyika Ikulu ndogo mkoani Arusha.

TRC Yafanikisha Usafirishaji wa Abiria Milioni Moja kwa Miezi Minne DAR-DODOMA

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza mafanikio makubwa kwa kusafirisha abiria zaidi ya milioni moja katika kipindi cha miezi minne tu tangu uzinduzi wa huduma za treni za umeme (SGR) kati ya Dar es Salaam na Dodoma mwezi Juni mwaka huu.

Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mikakati Madhubuti ya Kuendeleza Vijana wa Tanzania

Kwa kutambua kuwa Vijana ndio nguzo ya maendeleo ya baadaye. Katika kuelekea kwenye uchumi wa kisasa, Tanzania inahitaji nguvu kazi yenye elimu, maadili na ujuzi wa kisasa.

Serikali ya Awamu ya Sita Yavunja Rekodi ya Ujenzi wa Miundombinu kwa Miradi 77 ya Barabara na Madaraja

Serikali ya Awamu ya Sita, chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, inaendelea kusimamia kwa kasi utekelezaji wa miradi 77 ya ujenzi wa barabara na madaraja nchini kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS).

Serengeti na Kilimanjaro Vivutio Bora Barani Afrika kwa Mwaka wa Sita Mfululizo

Hifadhi za Taifa za Serengeti na Mlima Kilimanjaro zimeendelea kung”arisha taifa la Tanzania katika sekta ya utalii barani Afrika baada ya kushinda tena tuzo za kimataifa.

Uongozi wa Wanawake na Samia

Kila kona ya Tanzania ilipiga vifijo na vigeregere baada ya nchi kuwa na Rais wa kwanza Mwanamke. Wengi walihusianisha tukio hili na mapinduzi ya kijinsia.

Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ainua uchumi na huduma za afya wilaya ya Temeke

Katika ziara ya Dira ya Samia kwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mhe. Sixtus Mapunda alitoa maelezo ya kina kuhusu juhudi za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha uchumi na huduma za afya za Wilaya ya Temeke.

Ziara ya Rais Samia China: Kusaka Fedha kwa Miradi Minne Muhimu katika mkutano wa FOCAC

Mkutano wa 9 wa FOCAC unatarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 4 hadi 6, ambapo utafunguliwa na Rais Xi Jinping wa China. Rais Xi Jinping atatoa hotuba ya ufunguzi itakayobainisha mwelekeo wa China katika kuimarisha uhusiano wake na nchi za Afrika kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo.

or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook