Makala Mbalimbali

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Ukuaji katika Sekta ya Madini, Uboreshwaji Miundombinu na Uwezeshaji wa Watanzania Chini ya Uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan umeleta mabadiliko makubwa katika sekta mbalimbali za uchumi nchini Tanzania. Tangu aingie madarakani, Rais Samia amekuwa na dhamira thabiti ya kuwezesha Watanzania kunufaika na rasilimali za taifa lao

Tamasha la Kizimkazi Lapandishwa Hadhi Rasmi:

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kuwa Tamasha la Kizimkazi la kila mwaka liingizwe rasmi kwenye orodha ya matukio yanayochangia kukuza utalii nchini Tanzania.

HISTORIA IMEWEKWA NANE NANE!

Kwa mara ya kwanza Tanzania inashuhudia mageuzi makubwa katika kilele cha maonyesho ya kimataifa ya Nane Nane.

Matunda ya ziara ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan Mkoani Morogoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameanza rasmi ziara ya siku sita mkoani Morogoro.

Uzinduzi wa Treni ya Umeme ya SGR Kati ya Dar es Salaam na Dodoma: Mapinduzi ya Usafiri Tanzania

Huduma za treni ya umeme ya Reli ya Kisasa (SGR) kati ya Dar es Salaam na Dodoma imeanzishwa rasmi siku ya Alhamisi, ikitarajiwa kuleta mabadiliko makubwa katika sekta ya usafiri nchini Tanzania.

Dkt. Samia Anavyolifungua Taifa kwa Diplomasia ya Uchumi

Ziara zake mataifa ya nje zafungua milango kwa Tanzania, fursa lukuki kupitia mikataba, miradi ya maendeleo.

or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook