MRADI WA MAGADI SODA ENGARUKA
2024Utafiti uliofanyika awali mwaka 2008 na baadae utafiti wa kina mwaka 2010-2013 ulionyesha kuwa katika kata ya Engaruka, wilaya ya Monduli Mkoani Arusha kuna uwepo wa magadi soda ya kutosha kutumika kote nchini na hata kuuzwa nje ya nchi.