Rais anayejenga reli ya kisasa yenye mtandao mrefu kuliko wowote Afrika na wa tano duniani
OKT 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan Hassan, ameingia katika historia ya kuwa Rais anayejenga reli ya kisasa yenye mtandao mrefu kuliko wowote Afrika na wa tano duniani.