Makala Mbalimbali

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Rais anayejenga reli ya kisasa yenye mtandao mrefu kuliko wowote Afrika na wa tano duniani

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan Hassan, ameingia katika historia ya kuwa Rais anayejenga reli ya kisasa yenye mtandao mrefu kuliko wowote Afrika na wa tano duniani.

Serikali yasaini mikataba ujenzi wa madaraja 13 yaliyoathiriwa na mvua - lindi, bilioni 140 kutumika

Serikali ya awamu ya sita imesaini mikataba mitano itakayowezesha kuanza ujenzi wa madaraja 13 katika sehemu za barabara zilizoathiriwa na Mvua za El-Nino na Kimbunga Hidaya katika Mkoa wa Lindi.

Rais Samia Suluhu Hassan Aanza Ziara ya Maendeleo Mkoani Ruvuma: Fursa na Faida kwa Wananchi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameanza ziara rasmi ya siku tano (23-28 Septemba) 2024 mkoani Ruvuma

Kiwanja cha Julius Nyerere (JNIA) Chazoa Tuzo ya Ubora wa Usalama Afrika kwa Mwaka 2024

Tanzania imepata heshima kubwa katika sekta ya usafiri wa anga baada ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) kupitia Kiwanja cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) kupokea tuzo ya "Kiwanja chenye Ubora wa Usalama Afrika" kwa mwaka 2024.

Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ainua uchumi na huduma za afya wilaya ya Temeke

Katika ziara ya Dira ya Samia kwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mhe. Sixtus Mapunda alitoa maelezo ya kina kuhusu juhudi za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha uchumi na huduma za afya za Wilaya ya Temeke.

Ziara ya Rais Samia China: Kusaka Fedha kwa Miradi Minne Muhimu katika mkutano wa FOCAC

Mkutano wa 9 wa FOCAC unatarajiwa kufanyika kuanzia Septemba 4 hadi 6, ambapo utafunguliwa na Rais Xi Jinping wa China. Rais Xi Jinping atatoa hotuba ya ufunguzi itakayobainisha mwelekeo wa China katika kuimarisha uhusiano wake na nchi za Afrika kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo.

or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook