Makala Mbalimbali

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Rais Samia awaasa waandishi: kalamu ziendelee kulinda na kujenga taifa

Katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Waandishi wa Habari (Samia Kalamu Awards) iliyofanyika jijini Dar es Salaam, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahimiza waandishi wa habari kutumia kalamu zao kama nyenzo ya kuimarisha mshikamano wa kitaifa na kuchochea maendeleo, hasa tunapoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu.

Rais Samia Aongeza Mshahara wa Kima cha Chini kwa Watumishi wa Umma kwa 35.1%

Katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yaliyo fanyika mkoani Singida, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kuongeza mshahara wa kima cha chini kwa watumishi wa umma kutoka Shilingi 370,000 hadi Shilingi 500,000.

RAIS SAMIA AZINDUA BENKI YA USHIRIKA TANZANIA, AITAKA KUWA NGUVU MPYA KWA WAKULIMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt, Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 28 Aprili 2025, ameongoza hafla ya uzinduzi wa Benki ya Ushirika Tanzania (Coop Bank) ambapo katika uzinduzi huo amesisitiza umuhimu wa benki hiyo kuwa injini ya mapinduzi katika sekta ya ushirika na kuwawezesha wakulima kiuchumi.

RAIS DKT. SAMIA AZINDUA TOLEO LA SHERIA ZILIZOBORESHWA LA MWAKA 2023, ATOA MAELEZO YA MANUFAA KWA TAIFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Toleo la Sheria Zilizofanyiwa Urekebishaji la mwaka 2023, akieleza kuwa ni nyenzo muhimu ya kudhibiti matumizi mabaya ya madaraka, kuziba mianya ya rushwa, na kuimarisha misingi ya haki, amani, na maendeleo ya kiuchumi.

MAPINDUZI YA KIDIJITALI: MIAKA 4 YA RAIS SAMIA

Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeonesha mafanikio makubwa katika kukuza matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa lengo la kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Benki Kuu ya Tanzania: Miaka Minne ya Hatua Madhubuti za Kiuchumi na Kifedha chini ya Uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan

Benki Kuu ya Tanzania (BoT), inajulikana kama taasisi huru ya umma iliyoanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Benki Kuu ya mwaka 1966, taasisi hii imeendelea kuimarika kama mhimili wa uthabiti wa sera za kifedha nchini.

Tanzania Kuwa Mwenyeji wa Mkutano wa Tatu wa Nchi Zinazozalisha Kahawa Afrika (G-25 African Coffee Summit) – Faida kwa Nchi na Wakulima wa Kahawa

Mkutano wa Tatu wa Nchi Zinazozalisha Kahawa Afrika (G-25 African Coffee Summit) ni tukio muhimu linalohusisha nchi zinazozalisha kahawa barani Afrika. Mkutano huu unakusudia kukuza na kuimarisha sekta ya kahawa, ambayo ni mojawapo ya bidhaa kuu zinazozalishwa katika bara la Afrika.

Muhtasari wa Matukio Muhimu Kuhusu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, Januari hadi Februari 2025

Mwaka 2025 umeanza kwa kasi kubwa, huku Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiendelea kuandika historia kwa uongozi wake thabiti na wa kipekee. Katika kipindi cha Januari hadi Februari 2025,

or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook