MHE RAIS DKT, SAMIA AZINDUA ILANI YA UCHAGUZI YA CCM 2025–2030
May 2025Dodoma, Tanzania – Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dk. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa kipindi cha 2025 hadi 2030,